Wednesday, 29 November 2017

Marekani yaitaka dunia kusitisha biashara na Korea Kaskazini


Marekani imetoa wito kwa mataifa mbalimbai kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na kibiashara na Korea Kaskazini, ikiwa ni hatua ya kupinga majaribio ya makombora ambayo yamekuwa yakifanywa na taifa hilo.

No comments:

Post a Comment

FIND US ON FACEBOOK

Followers